Zamani maneno haya ungeyakuta kwenye kanga, kawa au kipepeo tu. Lakini siku hizi unayakuta yameandikwa pia nyuma ya pikipiki hizi na kugeuka burudani kubwa miongoni mwa watumia barabara.
Wanawake watatu wakazi wa Mkoa ya Njombe na Iringa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kuiba vitenge 414 kwenye maduka matatu tofauti yaliyopo katika eneo la Soko Kuu Manispaa ...
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi jana alimpigia simu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa kutaka ufaf ...